![]() |
Sehemu ya wapigaji Joyous20 Jijini Durban, ambayo GK ilihudhuria. (Picha zaidi) |
Askofu Jakes akivunja ukimywa kwa waumini wake kuhusiana na ujio wa Joyous Celebration, na hapa akiwafafanulia waumini wake kwamba ni kama vile Beyoncé akubalikavyo nchini Marekani. Katika kuleta ulinganisho.
Habari hizi ambazo zimethibitishwa kwenye ibada ya leo nchini Marekani, ambapo Askofu Jakes ameeleza kwamba kundi hilo litafany alive recording kwa kushirikiana na kwaya wenyeji ya kanisa hilo.

BREAKING NEWS Bishop TD Jakes announces at his Sunday morning service in Dallas Texas that Joyous Celebration will...
Posted by MY Joyous Celebration on Sunday, 17 July 2016
Pamoja na waliolalamika, bado wengine wamefurahia zaidi na kuitaka Joyous ifike mbali zaidi katika kuhubiri injili kwa mataifa. Endelea kufuatilia GK nasi tutakufahamisha zaidi kuhusiana na habari hizi.