![]() |
Gloria na marehemu baba yake, David Muliro ©Fb/Gloria Muliro |
Muimbaji huyo ambaye anajiandaa na mzunguko (tour) wa Twende Jerusalem na GoTell kuanzia tarehe 1-7 Agosti kisha kuunganisa mzunguko mwingine, ameandika taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Facebook, akieleza kusikitishwa na taarifa hizo Jumamosi ya tarehe 9 Julai.
Tunawaombea wafiwa wote faraja itokayo kwa Mungu. BWANA ametoa na BWANA ametwaa, jina lake na lihimidiwe.