Quantcast
Channel: Gospel Kitaa™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1245

TANZIA: GLORIA MULIRO AFIWA NA BABA YAKE MZAZI

$
0
0
Gloria na marehemu baba yake, David Muliro ©Fb/Gloria Muliro
Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Kenya, Gloria Muliro amepatwa na pigo maishani baada ya kufiwa na baba yak mzazi, GK imefahamishwa.

Muimbaji huyo ambaye anajiandaa na mzunguko (tour) wa Twende Jerusalem na GoTell kuanzia tarehe 1-7 Agosti kisha kuunganisa mzunguko mwingine, ameandika taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Facebook, akieleza kusikitishwa na taarifa hizo Jumamosi ya tarehe 9 Julai.


Tunawaombea wafiwa wote faraja itokayo kwa Mungu. BWANA ametoa na BWANA ametwaa, jina lake na lihimidiwe.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 1245

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>