Quantcast
Channel: Gospel Kitaa™
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1245

HABARI PICHA: USIKU MAALUM WA SAXOPHONE ULIVYOFANYIKA

$
0
0

Ulikuwa ni usiku wa kipekee na kwa wale waliopata nafasi ya kuhudhurua hawatousahau.Tunauzungumzia usiku wa ibada maalum wa saxophne ambapo ibada iyo iliandaliwa na Misericordias Mushi katika katika la KKKT Mbezi Beach siku ya ijumaa juni 24 mwaka 2016.

Mbali na watu walihudhuria pia vikundi vya uimbaji pamoja na waimbaji binafsi walikuwepo katika usiku huo akiwemo mpiga saxophone Moses Mangwa, Christina Shusho, Sam Yonah, Angel Magoti, Sarah Ndosi Shila,Vijana Kwaya KKKT Ubungo, Mbezi Beach Praise Team na Glorious Worship Team.
Watu wakisebeneka
GK Tulikuwepo kuletea tukio zima Ungana Nasi katika picha.









Christina Shusho Katika uimbaji wake







Moses Mangwa katika upigaji wake wa Saxophone



Mise akipiga Selfie pamoja na wapiga saxophone wenzake






Mke wa Mise akiwa uweponi


Mise Katika upigaji wake wa Saxophone




















Kwaya ya vijana KKKT Ubungo



Sam Yonah Katika uimbaji

Glorious Worship Team katika jukwaa




Kwa picha zaidi Bofya hapa 

GK Tunapatika kupitia mitandao ya kijamii @Gospel Kitaa


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1245

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>